Monday, December 26, 2011

Uzinduzi wa HILLWAY BAND waingia DOSARI.




Uzinduzi wa Band ya HILLWAY a.k.a Wazee wa juu kwa juu,uliofanyika jana usiku wa x-mas katika ukumbi wa GOLD CREST ,ulingia dosari baada ya wasanii walioalikwa"ROMA MKATOLIKI na BELLE 9" kutopanda stage on time ,hivyo kusababisha waandaaji kutowaruhusu wasaani hao kuperform ,baadhi ya watu walioingia katika uzinduzi huo walionekana kukasirishwa na kitendo hicho na kuomba kurudishiwa pesa zao kwani si wote walikuja kwa ajiri ya kuangalia uzinduzi bali Bongo fleva arists,Roma na Belle 9.
Tofauti na dosari hiyo HILLWAY BAND,walifanikiwa kuwakonga nyoyo mashabiki wa mziki wa dansi Mwanza huku wakiuza VCD ya ALBUM yao ya BOMU LIMELIPUKA kwa tshs. laki moja na ishirini kwa mdau wa mziki huo..!

No comments:

Post a Comment