Linah a.k.a ndege mnana kutoka THT,ndani ya Villa Park Resort alizua SHANGWE ghafla kwa mashabiki waliohudhuria show pale alipotaka kuperform nyimbo alioimba na Mwana FA "YALAITI"
Huku akitumia mfumo wa PLAY BACK aliomba mtu mmoja apande on stage na aimbe sehemu ya FA,ndipo mchizi alipopanda na kuanza kuchezesha taya huku akitupia swaga za FA,Crowd iliripuka baada ya mchizi kumbambia Linah..!!
Sauti ya Linah haikumpa Support hata kushindwa kuimba live kama ilivyo ada yake..!aliomba radhi kwa sauti kumgomea na mashabiki walionekana kumuelewa.
No comments:
Post a Comment