Sunday, December 25, 2011

Barnaba v/s Mwanza Rainbow Dancers


Uchache wa watu uliojitokeza katika show hii,leo siku ya x-mas haikuwa kigezo cha kumfanya Barnaba kufanya show nzuri huku akipewa support ya kutosha kutoka kwa dancers wa Mwanza Rainbow,haina ubishi kuwa yeye ni muimbaji na performer....!!Zaid ya saa moja akiwa on stage akikisanua nonstop huku baadhi ya mashabiki wakimtuza..!

No comments:

Post a Comment