Monday, January 28, 2013

MWANZA'S PER CAPITA INCOME UP

 Mwanza Region has achieved great success in the poverty alleviation campaign, recording an increase of its residents per capita income from Sh421, 379 in 2005 to Sh924, 536 by June 2012.     
The region’s seven-year development report shows that the residents’ income has gone up by 219 per cent.    
The report on the region’s economic achievement was released  by the Mwanza Regional commissioner, Eng Everist Ndikilo, at his year-end meeting with the media and experts from several government departments in the region.    

“The increase, which is approximately Sh2,500 per day, means that Mwanza residents are far above the poverty line pegged at below $1 (Sh1,500), explained Eng Ndikilo.    

Further, Mr Ndikilo said, agriculture has remained the leading sector in the region by producing more than 75 per cent of its income.    

Fishing, one of the leading sectors, earned the region seven per cent of its income. According to him, it also recorded a big increase from Sh1.34 billion in 2005 to Sh3.38 billion this year.

“This is also a good sign that Mwanza Region is becoming a force to reckon with in the development and investment sectors with an increase of 251 per cent,” explained the RC.    

Once a dusty town, in recent years Mwanza has emerged an economic giant in the country.    

Credit for the achievement is shared mainly by the government through creative plans and a no-nonsense approach towards whoever dares mess up things and a responsive business community.    

Founded in 1892 by a German colonial administrator, Emin Pasha, as a centre for coordinating cotton exports, Mwanza has finally seen its bright future as investors scramble for a stake in it.    

This is mainly thanks to the booming Nile Perch industry, mining sector and cotton farming.    

What used to be home to thousands of squatters and dusty roads has today become a haven of skyscrapers, modern gardens, well built roads and robust economic activities.         

Friday, January 25, 2013

MTUHUMIWA WA MAUAJI YA KAMANDA AELEZA WALIVYOJIFICHA MAKABURINI BAADA YA KUFANYA MAUAJI

Abdurahman Ismail aka Dulla (28) ambaye ni mkazi wa Mkudi Ghana jijini Mwanza ambaye ni mdogo wa watuhumiwa Muganyizi Michael Peter aliyedaiwa kumfyatulia risasi marehemu Barlow alieleza jinsi walivyo tekeleza unyama wao na kwenda kuficha radio call na funguo za gari kwa kutupa katika tankila maji taka katika eneo la Nyashana kwenye nyumba ambayo haina mahusiano yoyote na hao watuhumiwa bali kwa lengo la kuhakikisha vitu hivyo havipatikani kabisa.

Watuhumiwa wawili waliofungwa pingu wakiwa wameshikiliwa na makachero wa jeshi la polisi waliovalia kiraia wakiwaonyesha kwenye shimo la maji taka eneo ambalo walitupa Radio call pamoja na funguo za gari la aliyekuwa Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza marehemu Liberatus Barlow.

Watu hao walitumbukiza radio call hiyo na funguo za gari kupitia bomba linaloonekana kulia la kupitishia hewa ya maji taka na hapa ni harakati za kutindua mlango wa shimo la maji taka lililotajwa kuwa na radio call na ufunguo wa gari la vilivyokuwa vikitumiwa na marehemu Barlow siku ya tukio la mauaji yake eneo la minazi mitatu Kitangili wilayani Ilemela jijini Mwanza.

Mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai Mkoa wa Mwanza (RCO) Joseph Konyo akijiandaa kuchungulia ndani ya shimo la maji taka lililotajwa kuwa na radio call na ufunguo wa gari la vilivyokuwa vikitumiwa na marehemu Barlow siku ya tukio la mauaji yake eneo la minazi mitatu Kitangili wilayani Ilemela jijini Mwanza.

                                               Picha ya ndani ya shimo hilo..

                                          Funguo za gari zikifanyiwa usafi..

Hivi ni baadhi ya vitu vilivyokamatwa nyumbani kwa watuhumiwa hao vikiwemo vyeti vya kughushi, pasipoti na picha za utambulisho wa kughushi wa kipolisi, simu zaidi ya nne zenye laini zake na laini nyingine za ziada kwa mitandao tofauti, sare za moja kati ya makampuni ya ulinzi Mwanza, kofia zenye nembo ya jeshi la Polisi na kadhalika...

 

Tuesday, January 15, 2013

MEYA WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILEMELA AVUNJA REKODI KWA KUVUNJA MIPAKA YA SIASA



Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela ambaye pia ni diwani wa kata ya Kitangiri Henry Matata akihutubia wananchi katika uwanja wa wazi wa Kitangiri jijini Mwanza uliokuwa na lengo la kuwasilisha shughuli za utendaji wa kata yake sambamba na kufafanua mikakati iliyopo juu ya masuala mbalimbali ya maendeleo kwenye kata hiyo.




Meya wa Ilemela henry Matata ambaye pia ni diwani wa kata ya Kitangiri jijini Mwanza ameapa kupambana kufa na kupona kutatua suala sugu la migogoro ya ardhi ambalo limeendelea kuwa kero ndani ya wilaya yake akiwaasa pia wananchi wa wilaya ya Ilemela kufuata utaratibu wote stahili hasa linapokuja suala la ununuzi au umiliki wa ardhi.


Awali vijana wanaomshabikia Meya Henry Matata waliingia viwanjani hapo kwa mbwembwe wakitokea makaburini ambako walishiriki mazishi ya mmoja kati ya mwanamtaa aliyefariki dunia kwa mapenzi ya mola katani humo.



Suala lililovunja rekodi ndani ya mkutano huo wa hadhara ni hatua ya Meya huyo wa Ilemela kupitia CHADEMA kuvunja mipaka ya itikadi za siasa kwa kualika viongozi na wanachama wa vyama vyote huku akiwaachia kujimwaga na sare zao na hata nyimbo zao za vyama vyao ila tu kwa masharti ya kutohusisha kauli za kubezana zinazoweza kuleta chokochoko hali inayoweza kupelekea uvunjifu wa amani.





Shabiki nambari moko....


Wataalamu mbalimbali kutoka ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Ilemela nao walialikwa kwenye kusanyiko hili kwaajili ya kutoa ufafanuzi wa utekelezaji pindi maswali yapapo tokea..

Meya ameahidi kuendelea kuhamasisha wananchi wa Kata ya Kitangiri kushiriki kuhamasisha wadau mbalimbali kuchangia ujenzi wa shule za sekondari hivyo kuondoa uhaba wa vyumba vya madarasa unaoziandama shule nyingi kwa sasa.
                                                                   source:gsengo blog

Monday, January 14, 2013

TUSONGE PAMOJA TENA 2013

Imekuwa kitambo toka mwaka jana kabla ya kusimama kidogo ku post different issues "STRICTLY MWANZA"Naomba mniuwie radhi kwa kimya,sasa nimerudi'so beautiful people 2013 sio mwisho but the begining of a new AGE...!Happy new year.

Tuesday, February 7, 2012

Piki piki ni Deal hapa Town...!

Bodaboda aka tukutuku aka Okada kama zinavyoitwa sehemu tofauti  za Africa,Zimeonekana kuwa deal kutokana na watumiaji kuongezeka kila kukicha pasipo kujari ajari kibao zinazotokea daily,Dada wa kizungu katika picha  akienjoy usafiri huo...!

Thursday, January 26, 2012

ONE LUV FX WAZINDUA VIDEO YA SAL-MO "WAONYESHE"


Ezden the ROCKER,Radio presenter at Kiss Fm ndie aliekuwa akiendesha mpango mzima wa uzinduzi wa video ya "WAONYESHE"Katikati ni Mwanadada alieuza nyago katika video hiyo na wa kwanza kulia ni Director/Editor wa ONE LOVE FX SHAIBU.

 Steve kutoka Barmedas.tv akichukua matukio
.Hypa'director,editor na filmmaker katika Kampuni ya One Love Fx pembeni na Zombi mwenye mic'akitoa maoni juu ya video hiyo...!!
Crowd kubwa ya fanz wa muziki huu wa Bongo fleva ilijitokeza kushow luv..!!!
Meneja wa The Stone Club'ALLY Coco ambae pia ni mdau mkubwa wa MWANZA KWANZA alipata pia fursa ya kutoa maoni yake,pia alifikisha ombi lake ktk kampuni ya ONE LOVE FX kusaidia kutoa video ya ngoma moja kutoka MWANZA KWANZA UNIT...!!!

TIDDY HOTTER'Audio producer kutoka ONE LOVE FX wa kwanza kushoto na wa pili ni Ado Radio Presenter wakitazama ngoma katika screen kubwa iliyopo  ukumbini...!

Sunday, January 1, 2012

FM ACADEMY wafungia mwaka ROCK CITY.


 Muimbaji na Star wa Bongo Movie PATCHO MWAMBA akiimba
 NYOSHI EL SAADAT nje ya ukumbi wa Gold Crest aki-holla mbele ya camera ya Mwara RAINBOW blog
FM ACADEMY aka Wazee wa NGWASUMA walifunga 2011na kuukaribisha  mwaka 2012 ndani ya jiji la Mawe-Rock City kwa Bonge la show huku wakitambulisha style mpya na ngoma mpya ...!Mpango mzima ulifanyika katika ukumbi wa GOLD CREST

Dj Summer aua ndege wawili kwa jiwe moja..!Mkesha wa mwaka mpya

 cake nzuri iliyoandaliwa mahsusi kwa ajiri ya birthday ya DJ Summer...!
 Bonge ya Saplaiz  amfanyia mchumba wake Ney
 Hug me mpenzi Chocolate

DJ Ally B,akikisanua kabla ya dakika tano kuelelekea mwaka mpya 2012...!!


      Usiku wa mkesha wa mwaka mpya 2012 ulikuwa wa kipekee kwa DJ Summer,ambaye anapiga mzigo katika Club ya The Stone na mshindi wa st8 muzik DJ competition 2011' baada ya kuua ndege wawili kwa jiwe moko..,
  HOW IT STARTED
Mnamo saa sita kamili Meneja wa The STONE CLUB DJ Ally Coco na mwanadashosti walipanda on Stage na kufungua Champagne kama ishara ya kuukaribisha Mwaka 2012,
      Baada ya mda Cake iliwekwa kati na kukatwa na Summer kisha kuwalisha marafiki waliohudhuria huku wakimuimbia Happy Birthday Song...'
      Ney alikuwa wa mwisho kulishwa Cake,katika hali ya kushangaza aliombwa kufumba macho na DJ Ally B,Summer akaletewa pete na kumvalisha mwanadashosti  ambae alionekna kutoamini...!na machozi kumlenga machoni mwaake...!!
MWANZA RAINBOW TUNASEMA:
Kumvalisha mpenzi wako pete ya uchumba ni ishara ya nia njema kwake,hinyo ni bora na heshima kama mtaitunza ahadi mliyopeana mbele ya mashabiki kibao walioshuhudia mpango mzima...!





Tuesday, December 27, 2011

WANA SUPER KAMANYORA,wawachezesha mashabiki kwenye mvua...!!



Super Kamanyora Band inayopigia mzigo wake ndani ya VILLA PARK RESORT,iliwawarusha wateja wao siku ya BOXING DAY, huku mvua ikinyesha..!Nyimbo zenye mashairi mazuri na waimbaji mahiri ilikuwa chachu tosha ya kuwafanya wasitoke na kuendelea kuserebuka...!!

IZO B na Barnaba wakisanua Villa Park pia...!!




Wakati Barnaba akitoka stage kuwarusha mashabiki na track kama Daima Milele,Tulizana na ngoma nyingine kali huku masista duu kibao wakioneka kupagawa na  ngoma zake pamoja na presentation bab kubwa,
    Izo B nae alikisanua na ngoma kama Miss Business,Business na Naongea na Ridhiwan ngoma ambayo ilifanya watu kumtunza kwa pesa,huku akiendeleza harakati za kuitambulisha track mpya BARUA,ambayo ni muendelezo wa RIDHIWANI...!!!

Wadau wa Mwanza Rainbow na BATA za boxing day

Mdau Greyson pembeni na stuff mwenzake Eve beyb wakishow love mbele ya kurunzi la Mwanza Rainbow,nice dress code bhaaana...!

Linah on STAGE na Mwana FA wa MWANZA




Linah a.k.a ndege mnana kutoka THT,ndani ya Villa Park Resort alizua SHANGWE ghafla kwa mashabiki waliohudhuria show pale alipotaka kuperform nyimbo alioimba na Mwana FA "YALAITI"
 Huku akitumia mfumo wa PLAY BACK aliomba mtu mmoja apande on stage na aimbe sehemu ya FA,ndipo  mchizi alipopanda na kuanza kuchezesha taya huku akitupia swaga za FA,Crowd iliripuka baada ya mchizi kumbambia Linah..!!
   Sauti  ya Linah haikumpa Support  hata kushindwa kuimba live kama ilivyo ada yake..!aliomba radhi kwa sauti kumgomea na  mashabiki  walionekana kumuelewa.

Monday, December 26, 2011

Bata za x-mas

Baraka wa Mwanza Rainbow,Ben Tv presenter at Star Tv na mchumba wake Magie'pia walikuwepo katika uzinduzi wa album ya HILLWAY BAND "BOMU LIMELIPUKA"

Barnaba na Ezden the Rocker

Rock city super star Ezden the Rocker,rapper and Radio presenter at KISS FM along side with Barnaba wakishow luv mbele ya Camera ya Mwanza Rainbow blogspot.Ni katika uzinduz wa HILLWAY BAND ndani ya ukumbi wa GOLD CREST.

Uzinduzi wa HILLWAY BAND waingia DOSARI.




Uzinduzi wa Band ya HILLWAY a.k.a Wazee wa juu kwa juu,uliofanyika jana usiku wa x-mas katika ukumbi wa GOLD CREST ,ulingia dosari baada ya wasanii walioalikwa"ROMA MKATOLIKI na BELLE 9" kutopanda stage on time ,hivyo kusababisha waandaaji kutowaruhusu wasaani hao kuperform ,baadhi ya watu walioingia katika uzinduzi huo walionekana kukasirishwa na kitendo hicho na kuomba kurudishiwa pesa zao kwani si wote walikuja kwa ajiri ya kuangalia uzinduzi bali Bongo fleva arists,Roma na Belle 9.
Tofauti na dosari hiyo HILLWAY BAND,walifanikiwa kuwakonga nyoyo mashabiki wa mziki wa dansi Mwanza huku wakiuza VCD ya ALBUM yao ya BOMU LIMELIPUKA kwa tshs. laki moja na ishirini kwa mdau wa mziki huo..!

Sunday, December 25, 2011

IZO B v/s Mwanza Rainbow Dancers


Happy Birthday IZO B,
Wakati akitimiza miaka kadhaa leo,Izo biashara kasema na Ridhiwan ndani ya jiji la Mwanza huku akitambulisha ngoma mpya"BARUA" ambayo ni muendelezo wa Naongea na RIDHIWANI...!bonge la ngoma bonge ya show...!bravo

Barnaba v/s Mwanza Rainbow Dancers


Uchache wa watu uliojitokeza katika show hii,leo siku ya x-mas haikuwa kigezo cha kumfanya Barnaba kufanya show nzuri huku akipewa support ya kutosha kutoka kwa dancers wa Mwanza Rainbow,haina ubishi kuwa yeye ni muimbaji na performer....!!Zaid ya saa moja akiwa on stage akikisanua nonstop huku baadhi ya mashabiki wakimtuza..!